Kilichomtoa machozi Pharrell ni baada ya Oprah kumwonesha video ya jinsi mashabiki wa Pharrell sehemu mbalimbali duniani walivyoupokea wimbo huo kiasi cha kuusababisha kuwa wimbo mkubwa sana na uliompa mafanikio toka ulivyotoka.
Akiwa anafuta machozi alisema, “Nashukuru kufahamu kwamba watu wameniamini kwa kipindi kirefu sana, mpaka kuweza kufikia hatua hii mpaka kujisikia hivyo”.